Polaroid
89121484252983

FROM NOTHING TO SOMETHING
About Me

RANDOM QUOTES
.
Banda Lyrics
Desiigner- Panda
Eddie fricas - Banda (school motivation)
[Panda remix]
(Banda!!x2 banda!!x5)
[Hook]
Piga A piga banda na GPA itapanda/
Study hard kinyama, acha wakwone mshamba/
Na class zama, performance yako utapenda/
Jueni mnachokifanya, sio tu bora kusoma/
We Discuss sana, quiz test fanya/
Shika book sana, utatoboa bwana/
Kama una macho utaona, na practical uwezo
kwa sana/
Acheni viburi vijana, wengi sana wame sanda/
(Banda!!x2 banda!!!x5 )
[Verse]
Wengine brain zime lala, mambo ya kuzama
class Sio sana/
Ku study hard hapana, mpaka ulazimishe yani
sana/
Ila tu kibishi, unapambana kemea ibilisi/
Unakaza mpaka una finish/
Una plan na wala ujali vikwazo vikupishe/
Na class zama, na paper pasua kinoma/
Mpaka poo wataomba, wengine wakikuona tu
wanainama/
Na muda ni wako huu, watakoma/
Ni mungu anapanga, waache wa panic/
Mpira wavuni inua mashabiki/ (ehee)
Na saivi ni lazima tu watakiri, no uwoga na
hawakutishi/
Si una make your life man/
Hakikisha kua una kuwa gud, audisko yani
haubebi begi/
Watakuchanga watakwita baby, watakwita kwita
watakita baby/
Eti kwao sukari wachanga akili watafanya ufeli/
We chalii, ni waongo kichizi na lengo Lao ni
mapene na kula makini/
Wasaka doo no mapenzi uwapotezee wasi jue
kujue ama nini/
Hatari sana usishike, ogopa hawa chicks/
Kimbia kwa speed/
[Hook]
_×_×_×_×_×_×_×


Visit Counter [48]
FRONOTOSO™
Copyright © 2017
All rights received
CREATED BY|EDGAR N. MAGAZINI
POWERED BY |XTGEM
.